CHEKA TARATIBU...

http://roztoday.blogspot.com/2012/06/cheka-taratibu.html
Mwanachuo mmoja kaingia kwenye chumba cha mtihani wa Filosofia.
Juu kabisa kwenye karatasi ya mtihani kuliwa na maandishi yaliyosomeka: "Je, hili ni Swali? - Jadili."
Baada ya kufikiri kwa muda akaandika: "Ikiwa hili ni Swali, basi hili ni Jibu!"
Unaambiwa majibu yalipotoka akawa peke yake aliyepata alama 'A'. Shule raha bwana...
Juu kabisa kwenye karatasi ya mtihani kuliwa na maandishi yaliyosomeka: "Je, hili ni Swali? - Jadili."
Baada ya kufikiri kwa muda akaandika: "Ikiwa hili ni Swali, basi hili ni Jibu!"
Unaambiwa majibu yalipotoka akawa peke yake aliyepata alama 'A'. Shule raha bwana...