OFA YA SERIKALI KUMTIBIA DK ULIMBOKA INDIA YATUPWA...


Hali  ya afya ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Ulimboka imeendelea kuwa siri,  huku mipango ya haraka ya kumpeleka nchini India kwa matibabu zaidi ikifanywa na madaktari wenyewe wanaodaiwa kukataa msaada wa Serikali.
Inaelezwa hisia za madaktari dhidi ya Serikali kuwa huenda ina mkono katika kutekwa na kuteswa kwa kiongozi huyo wa mgomo wa madaktari, ndizo zinazowasukuma kuizuia Serikali kushiriki katika kumpatia tiba Ulimboka ambaye kufikia leo asubuhi alikuwa anatibiwa na jopo la madaktari katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI).
Kuzuiwa kwa Serikali kuchangia tiba za Ulimboka kulithibitishwa leo na Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Nsachris Mwamaja aliyesema kuwa, Serikali ilikuwa tayari kutoa msaada wa kumsafirisha Dk Ulimboka kwenda India kwa matibabu zaidi, lakini madaktari wamegomea msaada huo wa Serikali.
Alisema wizara  hiyo ilipata taarifa kwamba Dk Ulimboka alikuwa anahitajika kupata matibabu zaidi nchini India au Nairobi, Kenya na hivyo iliamua kutoa msaada wa usafiri na matibabu kwa daktari huyo, lakini madaktari wenzake wamegoma Serikali kushiriki katika suala hilo.
Habari kutoka Muhimbili zilisema zilikuwa zinahitajika Dola za Marekani 40,000 (zaidi ya Sh milioni 60) kumwezesha Dk Ulimboka kusafirishwa nje kwa matibabu zaidi, na mwito ulitolewa kwa wahisani na wasamaria  kujitolea kusaidia mpango huo.
Na kufikia leo mchana, habari zilizonaswa zinasema madaktari na baadhi ya makundi ya watu, wamekuwa wakikamuana kuhakikisha wanapata fedha za kumsafirisha Dk Ulimboka.
Huku mgomo ukiendelea na kuwaumiza wagonjwa katika taasisi ya MOI na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, madaktari wameunda Jopo la Madaktari sita wakiongozwa na Profesa Joseph Kahamba kumtibu na kumlinda Dk Ulimboka hospitalini hapo.
Wakati mipango ya safari ikikamilishwa leo, milango ya MOI iliendelea kuwa chini ya ulinzi wa madaktari wenyewe, huku wageni wachache wakiruhusiwa kuingia ndani, huku wageni wengine wakiwemo waandishi wa habari na wapigapicha wakiagizwa kusubiri maelekezo zaidi.
Hali ya ulinzi ilionekana pia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) huku shughuli zikionekana kusimama, ikiwa pamoja na kutoonekana kwa pilika za wauguzi na ndugu wa wagonjwa. 
Aidha, kutokana na mazingira yaliyowekwa na madaktari, ilikuwa ni vigumu kwa watu wa nje kuweza kuingia MOI ambalo Dk Ulimboka anapatiwa matibabu.
Wagonjwa waliokuwa wamekusanyika nje ya hospitali hiyo wakisubiri huduma walilaani kuendelea kwa mgomo huo huku wakiziomba pande hizo mbili zinazovutana kumaliza mgogoro uliopo ili kuwezesha huduma kurejea katika hali ya kawaida.
Wakati mgomo ukiendelea kutesa wananchi, Serikali imechukua hatua kadhaa za kunusuru maisha ya wagonjwa ikiwa pamoja na kuingia makubaliano ya kushirikiana na  hospitali binafsi kadhaa zikiwemo TMJ, Regency, Aga Khan, Hindu Mandal, CCBRT za jijini Dar es Salaam na ile ya Jeshi iliyopo Lugalo.
Alisema hatua hiyo ilifikiwa kutokana na maelekezo yaliyotolewa na Waziri Mkuu,  Mizengo Pinda, ambaye alisema Hospitali ya Lugalo ambayo ni ya Jeshi itatumika kama Hospitali ya Rufaa.
"Serikali itaelekeza nguvu zake moja kwa moja katika  Hospitali za  Mwananyamala, Amana na Temeke ambako hakuna mgomo, ili kuhakikisha kwamba hazilemewi na mzigo wa wagonjwa,” alisema.
Utafiti umebaini huduma kuendelea bila matatizo katika hospitali hizo za Amana, Temeke na Mwananyamala.

Post a Comment

  1. My brother suggested I might like this website. He was entirely right.
    This post actually made my day. You cann't imagine simply how much time I had spent for this information! Thanks!
    http://www.videofellow.com/InesZzc
    Here is my page ... yachtcharter pula

    ReplyDelete
  2. My partner and I stumbled over here from a different website and thought I should check
    things out. I like what I see so i am just following you. Look forward to
    exploring your web page again.
    http://usyncit.com/?L=blogs.blog&article=245
    Also see my web site - kroatien

    ReplyDelete
  3. I have learn some just right stuff here. Definitely worth bookmarking for revisiting.
    I surprise how much attempt you place to make this type of great informative site.

    http://djcj.com.au/drupal/node/2335
    My page > covey

    ReplyDelete
  4. You actually make it appear so easy with your presentation
    however I to find this topic to be actually something which I believe I would never understand.
    It seems too complex and extremely wide for me.
    I'm having a look ahead for your next publish, I'll try to get the grasp of it!

    http://www.tagglive.com/index.php?do=/blog/11434/the-pros-in-order-to-buy-instagram-followers-from-your-dependable-source/
    My page : asses

    ReplyDelete
  5. Aw, this was an incredibly good post. Finding the time and actual effort
    to make a superb article… but what can I say…
    I hesitate a lot and don't manage to get anything done.
    http://dev.lefam.org/elgg/pg/groups/21144/the-results-to-buy-instagram-followers-by-a-professional-resource/
    Also visit my blog post ; lolzorz

    ReplyDelete
  6. I don't even know how I finished up right here, however I believed this put up was great. I do not recognise who you are but definitely you're going
    to a well-known blogger when you are not already.
    Cheers!
    http://www.spokecycling.com/node/8540
    My web blog - midface

    ReplyDelete
  7. Hi, just wanted to tell you, I loved this post.
    It was helpful. Keep on posting!
    http://knoxmates.com/blogs/viewstory/23021
    Here is my web-site ... jkrowling

    ReplyDelete
  8. www.bulberryfashion2013.com raxxwm gjhx www.fashionbulberryoutlet.com tknjym orem www.livebulberryfashion.com ssjvlu jvga uggs outlet jsgdjk gezq ugg boots cheap ljtsev hyof ugg usa ajsjsd ofyb ugg discount mjhovp ppvs ugg on sale slqkms bcne http://www.jg20.com hfuikn ovhw http://www.02s8.com dvhwpn kfcj michael kors outlet ebeqbn igiz http://www.z8ye.com dntebd hbyx longchamp outlet honaiz rauk longchamp bag crityt pcfc burberry outlet jsccmi tiik

    ReplyDelete
  9. burberry bags jqfiio hdhf www.fashionbulberryoutlet.com kifvjf uezw burberry bags tmudhh ezxc ugg boots hwzhoc dgab ugg sale yyupxu qsbk http://www.2lv6.com oqjlkg npbj ugg outlet celrgx pict ugg sale nhrovg tnuv michael kors outlet store gwmtau cvdu michael kors handbags uagomf vqft michael kors 2013 ovbekf etev longchamp handbags outlet bodyxq xgfq longchamp sale iwdtsd yiwg longchamp handbags outlet qkoejv nyfs burberry handbags uvyryd hjmc

    ReplyDelete
  10. I do consider all the ideas you have presented to your post.
    They are very convincing and can certainly work. Still, the posts
    are too brief for newbies. Could you please lengthen
    them a bit from next time? Thanks for the post.
    My webpage : buy instagram followers ebay

    ReplyDelete
  11. Simply want to say your article is as amazing. The clearness
    to your put up is simply cool and i could think
    you're an expert on this subject. Fine with your permission allow me to grab your RSS feed to stay up to date with forthcoming post. Thanks one million and please keep up the enjoyable work.

    Have a look at my blog ... how do i get more instagram followers
    Also see my webpage: how to get more followers on instagram

    ReplyDelete
  12. You could certainly see your skills in the article you write.
    The world hopes for more passionate writers such as you who
    aren't afraid to say how they believe. Always go after your heart.

    Feel free to visit my homepage - followers twitter buy

    ReplyDelete
  13. You could certainly see your skills in the article you write.
    The world hopes for more passionate writers such as you who aren't afraid to say how they believe. Always go after your heart.

    Also visit my blog post - followers twitter buy
    Also see my website > followers twitter buy

    ReplyDelete

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item