CHEKA TARATIBU...

Mtoto mmoja alikuwa akipata shida mno kusali kabla ya kulala kutokana na urefu wa sala hiyo. Siku moja akaamua kuiandika ile sala yote kwenye ukuta wa chumbani kwake. Basi kila ukifika wakati wa kulala sala ilikuwa hivi: "Ee Mungu, hebu soma pale ukutani!!" Duh, kasheshe...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item