UNAPOM-BIPU ISRAEL!

Mwendesha bodaboda akiendesha katikati ya barabara kama alivyonaswa na 'wazururaji' wa ziro99blog eneo la Manzese Darajani, Dar es Salaam mchana wa leo. Kumekuwa na ripoti za vifo vingi vya watumiaji wa usafiri huu lakini vingi vimekuwa vikitokana na uendeshaji mbovu na kutozingatia sheria za usalama barabarani. Kama una lolote tuma kwa: ziro99blog@gmail.com

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item