EBWANAEEE... KUMBE USHER RAYMOND NI MKALI WA "ROCK"...


Huyu ndiye mwimbaji kijana wa Marekani aliyeiteka dunia na kukubalika kama mkali wa miondoko ya R&B kabla ya hivi majuzi tu kuwaacha midomo wazi wapenzi wake na mashabiki wa muziki kwa ujumla alipodhihirisha uwezo mkubwa pia katika muziki wa Rock. Shuhudia mwenyewe vitu vya Usher....

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item