CHEKA TARATIBU...

Mlevi mmoja katika kubatizwa akazamishwa kwenye maji na kisha Mchungaji akamwambia, "Kuanzia sasa wewe sio Rashid, sasa ni Yohana!" Kesho yake jamaa akiwa nyumbani akabanwa sana na kiu ya pombe. Moja kwa moja akaenda kwenye jokofu na kuchukua bia moja na kuizamisha kwenye ndoo ya maji na kuitoa kisha akasema, "Kuanzia sasa wewe sio Bia, sasa ni Soda!" Akaifungua na kuanza kunywa taratibu..! Ama kweli walevi noma...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item