MKONO MREFU WA SERIKALI: 'BAO' MPAKA PORINI...

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro ambaye jina lake halikufahamika mara moja akisimamisha gari lililosheheni mizigo na abiria katika barabara ya Ifakara - Mlimba katika Kijiji cha Ihanga kilicho umbali wa kilometa 150 kutoka Tarafa ya Mlimba, kama alivyokutwa juzi.

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item