CHEKA TARATIBU...

Kijana mmoja kagombana na babake kuhusu masuala fulani ya familia. Baada ya kufikiri sana namna ya kumkomesha baba yake kufuatia kushindwa cha kumfanya, kijana akaenda kwenye geti la makaburi ya Kinondoni na kubandika picha ya baba yake kisha chini akaandika "COMING SOON!" Duh...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item