CHEKA TARATIBU...

Jamaa mmoja baada ya kukurupushwa kwenye fumanizi akatoka mbio huku bila nguo hata moja na kudandia daladala lililokuwa mbele yake. Wakati akijiweka sawa, akagundua kondakta alikuwa akimkodolea macho kwa mshangao. Jamaa kwa ukali akasema, "Unashangaa nini sasa?" Kondakta akajibu kwa upole, "Sikushangai Bro, ila najiuliza utakuwa umeweka wapi nauli!" Kasheshe...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item