CHEKA TARATIBU...

Mwalimu katika shule moja kawauliza wanafunzi wake darasani, "Hivi chura kachuchumaa, kalala, kainama au kakaa kitako?" Baada ya wanafunzi wote kukosa walipojibu, ndipo mwanafunzi mmoja akasimama na kujibu, "KACHUCHUMAA kama anataka KUKAA KITAKO akijaribu KUINAMA wakati wa KULALA!" Duh, kasheshe...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item