CHEKA TARATIBU...

Mgonjwa mmoja kaingia kwa daktari na mahojiano yalikuwa kama hivi. DOKTA: Enhe! Unasumbuliwa na nini kijana? MGONJWA: Dokta, nimekuwa nahisi kwamba hakuna anayesikia ninachosema. DOKTA: Enhe! Unasumbuliwa na nini kijana? Duh, kasheshe...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item