UNAMKUMBUKA RAH P? HUU NDIO MKASA WAKE ULIOMKUTA ULAYA...
http://roztoday.blogspot.com/2012/11/unamkumbuka-rah-p-huu-ndio-mkasa-wake.html
Msanii wa Bongo Flava Rah P ambaye alitimkia Ulaya miaka kadhaa iliyopita na kukumbana na mikasa ambayo si rahisi kusahaulika kichwani mwake. Kwa sasa ni mama wa watoto wawili, na hapa anasimulia yaliyomfika akiwa ughaibuni.