CHEKA TARATIBU...

Familia moja ya Wamakonde ambao hawakuwa na dini wameguswa na kuamua kwenda kwenye kanisa moja ili kufanya utaratibu wa kuwa waumini. Bila kuchelewa Padri akawataka kubatizwa kwanza ndipo taratibu nyingine zifuatie. Kila mmoja wa wanafamilia hao akatakiwa kutaja jina ambalo angependa kupatizwa. BABA: Jochefu. MAMA: Mariya. Ilipofika zamu ya mtoto bila kusita akasema, "Yechu!" Duh, kaazi kwelikweli...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item