NGWASUMA WALIPOSHAMBULIA MAKUMBUSHO...


Linapofikia suala la kushambulia jukwaa, vyeo yote huwekwa kando! Hapa Rais wa FM Academia, Nyoshi El Saadat akionesha umahiri wake wa kusakata Ngwasuma sambamba na wenzake katika onesho la bendi hiyo lililofanyika Jumamosi iliyopita kwenye Kijiji cha Makumbusho Kijitonyama, Dar es Salaam. (Video ya ziro99blog).

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item