AMITABH BACHCHAN AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI...

https://roztoday.blogspot.com/2012/06/amitabh-bachchan-afariki-dunia-kwa.html
Mchezaji filamu mkongwe nchini India, Amitabh Bachchan amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka mara kadhaa kwenye barabara ya 80 kati ya Morristown na Roswell.
Alithibitishwa kufariki katika eneo la tukio na madaktari waliofika hapo na mwili wake ulitambuliwa kwa msaada wa picha iliyokuwa kwenye kitambulisho chake mfukoni.
Si pombe wala dawa za kulevya zinazohusishwa na ajali hiyo iliyotokea mapema leo.
Amitabh alitamba sana duniani na filamu zake nyingi ikiwamo Satte Pe Satta.
Wachunguzi wa Usalama Barabarani wameeleza kwamba Amitabh alishindwa kudhibiti kasi ya gari lake wakati akiendesha gari la rafiki yake kwenye Barabara ya 80 kabla ya kupinduka na kusababisha kifo chake papo hapo.
Gari hilo inasemekana lilikuwa kwenye mwendokasi wa maili 95 kwa saa wakati wa ajali.
Mashuhuda wameeleza kwamba gari la Amitabh lilikatisha njia mbili na kupinduka mara kadhaa baada ya kupanda kwenye kuta zinazotenganisha barabara na kusababisha kupinduka.
Kipimo cha ulevi kitafanyika kujua kama ni sababu ya ajali hiyo, japo taarifa za awali hazihusishi vitu hivyo.
Mazishi ya Amitabh bado hayajawekwa wazi kwa sasa. Hata hivyo imeelezwa kwamba mwili wake utahifadhiwa kwenye jeneza lililofungwa kufuatia majeraha makubwa aliyopata kichwani.
Hi. hivi ni kweli amefaliki mbona watu wanaseme alikuwa akiigiza?
ReplyDeleteAmna amefariki kabisa
ReplyDelete