CHEKA TARATIBU...

https://roztoday.blogspot.com/2012/06/cheka-taratibu_26.html
Jamaa baada ya kusumbuliwa sana na tatizo la meno, kaamua kwenda kwa daktari wa meno. Mahojiano yakawa hivi:-
Jamaa: Itagharimu kiasi gani kung'oa meno haya mabovu?
Daktari: Shilingi Laki moja tu.
Jamaa: Laki Moja kwa yote kwa kazi ya dakika chache tu?
Daktari: Ukipenda naweza kukung'oa taratibu hata kwa siku tatu!
Jamaa: Itagharimu kiasi gani kung'oa meno haya mabovu?
Daktari: Shilingi Laki moja tu.
Jamaa: Laki Moja kwa yote kwa kazi ya dakika chache tu?
Daktari: Ukipenda naweza kukung'oa taratibu hata kwa siku tatu!