UJERUMANI YATINGA NUSU FAINALI EURO 2012 KWA KISHINDO...
https://roztoday.blogspot.com/2012/06/ujerumani-yatinga-nusu-fainali-euro.html
Ujerumani usiku wa kuamkia leo imeungana na Ureno kutinga katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Euro 2012 baada ya kuisambaratisha Ugiriki kwa mabao 4-2. Haya ndio mabao ya mechi hiyo.