ASHINDA TELEVISHENI YA MILIONI 1.5/- PROMOSHENI YA WEKA NA USHINDE YA CBA...


Mkuu wa Huduma za Makampuni wa Benki ya Commercial Bank Of Africa (CBA),  Fatma Abdallah (kushoto) akimkabidhi John Minja zawadi ya televisheni yenye thamani ya Shilingi milioni 1.5/- jana kwa kuweza kuongeza akiba yake mara mbili ya kiasi kilichomo kwenye akaunti katika "Promosheni ya Weka na Ushinde" inayoendeshwa na benki hiyo.

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item