CHEKA TARATIBU...

Jamaa mmoja katika pitapita yake mitaa ya Kariakoo akakutana na kichaa mmoja. Jamaa kwa mshangao akauliza, "We si ulitakiwa kuwa hospitali ya vichaa kule Milembe?" Yule kichaa akacheka na kujibu, "Ni kweli Bro!" Jamaa akaendelea, "Sasa mbona uko huku?" Kichaa akajibu, "Mie niko Day sio Boarding!" Balaa...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item