CHEKA TARATIBU...

Wanandoa wawili vijana baada ya mabishano wakiwa safarini kwenye gari lao wakajikuta wakinuniana. Baada ya mwendo mrefu bila kuongea, wakaona kundi la ng'ombe wakikatisha barabara. Mume akamwambia mkewe, "Wale wanaovuka barabara ni ndugu zako?" Mke akajibu, "Ni kweli kabisa, nimeolewa katika familia ile!" Kasheshe…

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item