DAMU NZITO HATA KWA SOKWE...


Sokwe hawa, Kesho na mdogo wake Alf walitengana kwa karibu miaka mitatu baada ya kuwekwa kwenye hifadhi tofauti za wanyama. Waliungana tena wiki hii kwenye makazi yao mapya huko Longleat Safari Park na kulakiana kwa mikono mikunjufu na kufuatiwa na kukumbatiana na kushikana mikono kama wanavyoonekana pichani. Hakika damu nzito kuliko maji…

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item