CHEKA TARATIBU...

Jamaa wawili wamefika kwenye stesheni ya treni. Kwa bahati mbaya wakakuta treni ndio imeshaanza kuondoka, hivyo wakaanza kuifukuzia na kwa bahati mmoja akafanikiwa kudandia. Kwa mshangao yule aliyebaki akaanza kucheka sana, ndipo watu wengine pale stesheni wakahoji kulikoni kuikosa treni na kuanza kucheka. Jamaa akajibu, "Mimi ndiye ninayesafiri, yule alikuwa akinisindikiza tu!" Kasheshe...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item