CHEKA TARATIBU...

Mzee mmoja kapita maeneo ya baharini na kumwona jamaa kakaa ufukweni akikodolea macho maji ya bahari. Mzee akamsogelea na kumuuliza, "Vipi kijana, mbona unatazama hivyo bahari?" Jamaa kwa upole akageuka na kujibu, "Nafikiria haya maji yangekuwa supu, ningenunua chapati ngapi kutosheleza!" Ebo, kumbe chizi bwana...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item