CHEKA TARATIBU...

Mbwa koko wawili walikuwa wakizurura jalalani kutafuta chakula mida ya asubuhi. Mara likapita gari la polisi likiwa limepakia mbwa nyuma. Mbwa koko mmoja akamtazama mwenzake na kumwambia kwa uchungu: "Ona wenzetu waliosoma wanakwenda kazini sasa!" Kasheshe…

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item