CHEKA TARATIBU...

Jamaa mmoja katoroka kazini wakati bosi wake hayupo ofisini. Kufika nyumbani kwake kakuta bosi amelala na mkewe kitandani, akanyata na kutoka nje mbio kurejea kazini. Alipofika akaanza kumsimulia rafiki yake: "Duh, nimemkuta bosi kalala na mke wangu nyumbani, ila nashukuru hajaniona. Nikanyata na kutimua mbio maana angejua kama nimetoroka kazini ingekuwa balaa!" Mh...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item