CHEKA TARATIBU...

Jamaa kaenda kununua chipsi eneo la jirani. Muuzaji akamuuliza aweke nini? Jamaa akajibu: "Chilitomato." Muuzaji akaweka Chilli na Tomato. Jamaa kuonja tu akaanza kufoka kwa hasira: "Chi nimekwambia chili tomato!" Ebo, kumbe alikuwa Mmakonde na aliposema 'Chilitomato" alimaanisha 'Hali Tomato!" Balaa...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item