CHEKA TARATIBU...

Baada ya kumaliza maombi, Mchungaji akawaambia waumini wake wafumbe macho. Akainama na kuingiza mkono kwenye kapu la sadaka na kuiba pesa. Wakati akiinuka akakutana macho kwa macho na mzee mmoja aliyekuwa akiingia kanisani. Mchungaji akasema: "HERI YAKE YULE ASIYESEMA KUHUSU ALIYOYASHUHUDIA KWA MACHO YAKE…" Yule mzee akadakia: "…KWA MAANA ATAPATA MGAWO WAKE BAADA YA MISA KWISHA!" Duh...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item