CHEKA TARATIBU...

Babu mmoja alikuwa kajipumzisha chini ya mti huku mjukuu wake akiwa anafua nguo zake za shule kando yake. Mara babu akainuka ghafla na kumwambia mjukuu wake: "Manase jifiche mwalimu wako huyo anakuja, si hujaenda shule leo!" Mjukuu akajibu: "Jifiche wewe, maana jana niliomba ruhusa kwamba umekufa!" Duh...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item