CHEKA TARATIBU...

Mwalimu wa somo la Hisabati katika shule moja kamuuliza mwanafunzi swali:
"Ukipewa maandazi sita, nikatoa moja. Utabakiwa na maandazi mangapi?" Mwanafunzi akainamisha kichwa na baada ya kufikiri kwa muda akajibu: "Ukinipa na chai ya maziwa, sibakishi hata moja!" Duh...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item