MWANAFUNZI ASHINDA PROMOSHENI YA "VUMBUA DHAHABU CHINI YA KIZIBO"...

Meneja wa bia ya Serengeti, Allan Chonjo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo katika droo ya Promosheni ‘Vumbua Dhahabu Chini ya Kizibo' ambapo mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine cha Mwanza, Mariam Karumba alijishindia Bajaji. Kulia ni  Mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha, Abdallah Hemedy na Tumainiel Malisa, kutoka PWC Consultant.

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item