WASICHANA 49 WAJERUHIWA KATIKA TAMASHA LA JUSTIN BIEBER NORWAY...

https://roztoday.blogspot.com/2012/05/wasichana-49-wajeruhiwa-katika-tamasha.html
Meya wa Jiji la Oslo amezindua uchunguzi kuhusu tamasha la mwimbaji Justin Bieber nchini Norway usiku wa kuamkia leo ambapo wasichana 49 walijeruhiwa kwenye msongamano mkubwa na 14 kati wakachukuliwa kwa gari la wagonjwa kukimbizwa hospitali kupatiwa huduma ya dharura.
Hakuna aliyeumia vibaya sana, lakini Meya Fabian Stang alisisitiza, "Nimeagiza Taasisi ya Mipango ya Dharura kuchunguza tamasha zima kuanzia mpangilio wa jukwaa hadi uwezeshaji wa tamasha hilo. Tunatakiwa kujua wapi kulikuwa na dosari na kwanini hili likatokea."
Meya Stang alisema hali ilikuwa mbaya sana, alilazimika kujificha kwenye moja ya miti wakati fulani kukwepa madhara.
Baadhi ya watu walilazimika kutumia kila njia kuweza kufika kwenye jukwaa.
The report has established helpful to uѕ.
ReplyDeleteIt’s extremely helpful and you are naturаlly very wеll-informеd
of this tyρe. You get poppeԁ mу fаce
to be able to numerous thoughts about thіs paгticulаr subjесt matter wіth іntеrеsting and
ѕtгong articles.
Take a look at my page ; buy phentermine