CHEKA TARATIBU...
https://roztoday.blogspot.com/2013/03/cheka-taratibu_3.html
Walevi wawili walikuwa wakitembea kurudi nyumbani. Ghafla njiani wakaona kioo, mmoja akakiokota na kujiona sura yake akasema: "Hii sura sio ngeni machoni mwangu ila jina ndio sikumbuki!" Mwenzake alipochukua kile kioo na kujiona sura yake akajibu: "We chizi kweli, huyu ni mimi unajifanya hunijui?" Kasheshe...
