CHEKA TARATIBU...

Walevi wawili walikuwa wakitembea kurudi nyumbani. Ghafla njiani wakaona kioo, mmoja akakiokota na kujiona sura yake akasema: "Hii sura sio ngeni machoni mwangu ila jina ndio sikumbuki!" Mwenzake alipochukua kile kioo na kujiona sura yake akajibu: "We chizi kweli, huyu ni mimi unajifanya hunijui?" Kasheshe...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item