Daladala moja imepakia abiria kibao wakiwamo wazungu wawili. Ukafika wakati kondakta anataka kuwadai nauli. Hapo ikawa kivumbi lugha! Kondakta: "Oyaa, dereva waambie hao wazungu wako wanipe nauli." Dereva: "Waambie mwenyewe, mie leo nasumbuliwa na jino. Linauma ile mbaya!" Kasheshe…