CHEKA TARATIBU...

Wavuta dawa za kulevya wawili 'maarufu kama mateja' walikuwa wakihangaika kutungua maembe kwenye mti bila mafanikio.
Baada ya takribani saa nzima teja mmoja akamwambia mwenzake: "Oyaa, wacha nipande juu ya mti nikacheki kama zimeiva." Kweli yule teja akapanda hadi juu na kutomasa yake maembe na kuyaacha kisha akashuka chini na kumwambia mwenzake: "Yameiva fresh msela wangu! Sasa ongeza mawe tuendelee na kazi!" Kasheshe...

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Hot Reads

Recent

Comments

Side Ads

Traffic

Text Widget

Connect Us

item